>>KWINGINEKO nako wamo, Afrika Mwakani!>>ULAYA hamna Mechi za Ligi za Klabu Wikiendi hii!!
Ukitoa Bara la Afrika ambao hawatacheza Mechi zao Wiki hii kwa vile walishaanza mchakato wao wa kupata wawakilishi wao wa kwenda Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 huko Brazil huku Mechi zao kuendelea Machi Mwakani, Barani Ulaya Ijumaa hii ndio wataingia dimbani kwa mara ya kwanza na huko Marekani ya Kusini, Asia na kwingineko watakuwa wakiendelea na Mechi zao.
Huko Ulaya, Makundi yote 9 yatakuwa kilingeni Ijumaa na Jumamosi kwa Mechi zao za kwanza na zile za pili kuchezwa Jumanne ijayo.
Hali kadhalika kwa Marekani ya Kusini ambao nao watacheza Siku kama hizo.
Mechi hizi za Timu za Taifa zinafanya Ligi za Barani Ulaya kupumzika hadi Wikiendi itakayoanzia Septemba 14.
Zifuatazo ni Ratiba ya Mechi za huko Marekani ya Kusini na Ulaya:
KANDA ya MAREKANI ya KUSINI
RATIBA
[Saa ni za Bongo]
Ijumaa Septemba 7
23:30 Colombia v Uruguay
Jumamosi September 8
0:00 Ecuado v Bolivia
2:10 Argentina v Paraguay
4:25 Peru v Venezuela
Jumanne Septemba 11
22:30 Chile v Colombia
Jumatano Septemba 12
0:30 Uruguay v Ecuador
2:25 Paraguay v Venezuela
4:25 Peru v Argentina
MSIMAMO:
1 Chile Mechi 6 Pointi 12
2 Uruguay Mechi 5 Pointi 11
3 Argentina Mechi 5 Pointi 10
4 Ecuador Mechi 5 Pointi 9
5 Venezuela Mechi 6 Pointi 8
5 Colombia Mechi 5 Pointi 7
7 Bolivia Mechi 6 Pointi 4
8 Paraguay Mechi 5 Pointi 4
8 Peru Mechi 5 Pointi 3
FAHAMU: Timu 4 za juu zinatinga Fainali Brazil moja kwa moja na ile ya 5 itaenda Mechi ya Mchujo.
KANDA ya ULAYA
RATIBA
[Saa ni za Bongo]
Ijumaa Septemba 7
19:00 Azerbaijan v Israel [Kundi F]
19:00 Russia v Northern Ireland [Kundi F]
19:00 Kazakstan v Ireland [Kundi C]
20:00 Liechtenstein v Bosnia And Herzegovina [Kundi G]
20:00 Georgia v Belarus [Kundi I]
21:00 Malta v Armenia [Kundi B]
21:00 Estonia v Romania [Kundi D]
21:15 Croatia v Macedonia [Kundi A]
21:30 Slovenia v Switzerland [Kundi E]
21:30 Netherlands vTurkey [Kundi D]
21:30 Latvia v Greece [Kundi G]
21:30 Andorra v Hungary [Kundi D]
21:30 Finland v France [Kundi I]
21:30 Montenegro v Poland [Kundi H]
21:45 Luxembourg v Portugal [Kundi F]
21:45 Moldova v England [Kundi H]
21:45 Germany v Faroe Islands [Kundi C]
21:45 Iceland v Norway [Kundi E]
21:45 Bulgaria v Italy [Kundi B]
21:45 Wales v Belgium [Kundi A]
22:15 Lithuania v Slovakia [Kundi G]
22:30 Albania v Cyprus [Kundi E]
Jumamosi September 8
17:00 Scotland v Serbia [Kundi A]
21:15 Denmark v Czech Republic [Kundi B]
Jumanne Septemba 11
20:00 Israel v Russia [Kundi F]
20:00 Cyprus v Iceland [Kundi E]
20:30 Romania v Andorra [Kundi D]
20:30 Georgia v Spain [Kundi I]
21:00 Norway v Slovenia [Kundi E]
21:00 Turkey v Estonia [Kundi D]
21:00 Bulgaria v Armenia [Kundi B]
21:15 Bosnia And Herzegovina v Latvia [Kundi G]
21:15 Slovakia v Liechtenstein [Kundi G]
21:30 Austria v Germany [Kundi C]
21:30 Sweden v Kazakstan [Kundi C]
21:30 Hungary v Netherlands [Kundi D]
21:30 San Marino v Montenegro [Kundi H]
21:30 Switzerland v Albania [Kundi E]
21:30 Serbia v Wales [Kundi A]
21:45 Poland v Moldova [Kundi H]
21:45 Northern Ireland v Luxembourg [Kundi F]
21:45 Greece v Lithuania [Kundi G]
21:45 Belgium v Croatia [Kundi A]
21:45 Italy v Malta [Kundi B]
22:00 France v Belarus [Kundi I]
22:00 Scotland v Macedonia [Kundi A]
22:00 England v Ukraine [Kundi H]
23:00 Portugal v Azerbaijan [Kundi F]
MAKUNDI:
Kundi A
Belgium
Croatia
Macedonia
Scotland
Serbia
Wales
Kundi B
Armenia
Bulgaria
Czech Republic
Denmark
Italy
Malta
Kundi C
Austria
Faroe Islands
Germany
Kazakhstan
Republic of Ireland
Sweden
Kundi D
Andorra
Estonia
Hungary
Netherlands
Romania
Turkey
Kundi E
Albania
Cyprus
Iceland
Norway
Slovenia
Switzerland
Kundi F
Azerbaijan
Israel
Luxembourg
Northern Ireland
Portugal
Russia
Kundi G
Bosnia and Herzegovina
Greece
Latvia
Liechtenstein
Lithuania
Slovakia
Kundi H
England
Moldova
Montenegro
Poland
San Marino
Ukraine
Kundi I
Belarus
Finland
France
Georgia
Spain
FAHAMU: Washindi 9 wa kila Kundi wataingia Fainali moja kwa moja na Washindi wa Pili 8 bora wenye rekodi nzuri dhidi ya Timu zilizomaliza nafasi za Kwanza, Tatu, Nne na Tano kwenye Kundi lao watapelekwa kwenye Droo kupanga Mechi 4 za Mchujo, zitakazochezwa nyumbani na ugenini, ili kupata Timu nne zitakazoingia Fainali.