Thursday, November 1, 2012

BPL: Wikiendi kuanza mapema kwa moto wa Man United v Arsenal!


Alhamisi, 01 Novemba 2012 20:07
Chapisha Toleo la kuchapisha
BPL_LOGO>>REFA CLATTENBURG hakupangiwa Mechi Wikiendi hii kupisha uchunguzi wa malalamiko ya Chelsea!
Ligi Kuu England, BPL [Barclays Premier League], inaingia kwenye Raundi yake ya 10, isipokuwa kwa Sunderland na Reading ambazo zina kiporo cha Mechi kati yao, na baada ya Wikiendi iliyopita vinara Chelsea kunyukwa bao 3-2 wakiwa kwao Stamford Bridge na Manchester United, lile pengo kati ya Chelsea na Timu za nyuma yake, Man United na Mabingwa Man City, limebaki Pointi 1 tu.
Mbali ya Man United ambao wako nyumbani kupambana na Arsenal katika Mechi ya kwanza kabisa hapo Jumamosi, Chelsea na Man City zote zipo ugenini kwa Chelsea kucheza na Swansea City na Man City kukipiga na West Ham huko Upton Park, Jijini London.
Kufuatia Chelsea kuwasilisha malalamiko kwa FA, Chama cha Soka England, kuhusu Refa Mark Clattenburg kutumia lugha isiyofaa katika Mechi Chelsea waliyofungwa 3-2 na Manchester United Jumapili iliyopita dhidi ya Wachezaji wake John Mikel Obi na Juan Mata na pia kuwepo kwa uchunguzi wa Polisi baada ya Kikundi cha Wanasheria Weusi kulalamika kuhusu tukio hilo, Refa huyo ameondolewa kuchezesha Mechi za Wikiendi hii.
ZIFUATAZO NI RATIBA, MSIMAMO, MAREFA waliopangwa Mechi zote za Wikiendi na WAFUNGAJI BORA:
RATIBA:
Jumamosi, Novemba 3, 2012
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
Manchester United v Arsenal
[SAA 12 Jioni]
Fulham v Everton
Norwich City v Stoke City
Sunderland v Aston Villa
Swansea City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Wigan Athletic
[SAA 2 na Nusu Usiku]
West Ham United v Manchester City
Jumapili, Novemba 4, 2012
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Queens Park Rangers v Reading
[SAA 1 Usiku]
Liverpool v Newcastle United
Jumatatu, Novemba 5, 2012
[SAA 5 Usiku]
West Bromwich Albion v Southampton
MAREFA wa MECHI za WIKIENDI:
Jumamosi Novemba 3
Manchester United v Arsenal
Refa: M Dean
Wasaidizi: S Ledger, A Garratt
Refa wa Akiba: P Dowd
Fulham v Everton
Refa: N Swarbrick
Wasaidizi: D Bryan, M Wilkes
Refa wa Akiba: M Oliver
Norwich City v Stoke City
Refa: A Marriner
Wasaidizi: G Beswick, A Holmes
Refa wa Akiba: P Tierney
Sunderland v Aston Villa
Refa: M Jones
Wasaidizi: D C Richards, J Brooks
Refa wa Akiba: C Foy
Swansea City v Chelsea
Refa: K Friend
Wasaidizi: C Breakspear, M Scholes
Refa wa Akiba: J Moss
Tottenham Hotspur v Wigan Athletic
Refa: M Atkinson
Wasaidizi: S Child, M McDonough
Refa wa Akiba: C Pawson
West Ham United v Manchester City
Refa: H Webb
Wasaidizi: D Cann, P Bankes
Refa wa Akiba: L Mason
Jumapili Novemba 4
Queens Park Rangers v Reading
Refa: M Oliver
Wasaidizi: S Long, D England
Refa wa Akiba: M Atkinson
Liverpool v Newcastle United
Refa: A Taylor
Wasaidizi: S Burt, A Halliday
Refa wa Akiba: M Jones
Jumatatu Novemba 5
West Bromwich Albion v Southampton
Refa: M Halsey
Wasaidizi: R Ganfield, J Flynn
Refa wa Akiba: M Dean
MSIMAMO:
[Kila Timu imecheza Mechi 9 isipokuwa inapotajwa]
1 Chelsea Pointi 22
2 Man Utd  21
3 Man City  21
4 Tottenham 17
5 Everton 16
6 Arsenal 15
7 Fulham 14
8 West Brom 14
9 West Ham 14
10 Newcastle 13
11 Swansea 11
12 Liverpool 10
13 Stoke  9
14 Sunderland Mechi 8 Pointi 9
15 Wigan 8
16 Norwich 7
17 Aston Villa 6
18 Reading Mechi 8 Pointi 4
19 Southampton 4
20 QPR 3
WAFUNGAJI BORA:
Demba Ba [Newcastle] Mabao 7
Van Persie [Man United] 7
Michu  [Swansea] 6
Suarez [Liverpool] 6
Defoe [Tottenham] 5
Dzeko [Man City]5
Fletcher [Sunderland] 5
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumamosi, Novemba 10, 2012
[SAA 12 Jioni]
Arsenal v Fulham
Everton v Sunderland
Reading v Norwich City
Southampton v Swansea City
Stoke City v Queens Park Rangers
Wigan Athletic v West Bromwich Albion
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Aston Villa v Manchester United
Jumapili, Novemba 11, 2012
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Manchester City v Tottenham Hotspur
[SAA 12 Jioni]
Newcastle United v West Ham United
[SAA 1 Usiku]
Chelsea v Liverpool

No comments:

Post a Comment