SWANSEA YAFANYA KUFURU WEMBLEY
Swansea imefanikiwa kutwaa taji
lao la kwanza baada ya kuifunga timu kutoka daraja pili ya Bradford
katika fainali ya Capital One Cup.
Swans ilikwenda mapumziko ikiwa
magoli mawili huku mlinda mlango wa Bradford Matt Duke kulimwa kadi
nyekundu Nathan Dyer alifunga kwa faulo kwenye engo ya juu .
Michu alimiliki mpira kwa miguu yake na baadae Carl McHugh na Dyer rifled waliipatia magoli ya kuongoza Swansea's .
Duke alilimwa kadi nyekundu kwa kumfanyia faulo Jonathan De Guzman, na alifunga penati hiyo na alifunga tena goli la tano katika dakika za mwisho za mchezo huo na kuipa timu yake ushindi timu hiyo inayoshiriki ligi ya uingereza .

No comments:
Post a Comment