Baada ya kutopatikana kwa mshindi katika ligi ya ng"ombe mnyama inayoendelea huko buganika katika hatua ya nusu fainali kati ya kosovo fc na bafana bafana fc juma lililo pita itarudiwa ili kumpata mshindi wa mnyama huyo
mchezo huo ambao utachezwa leo saa kumi kamili jioni kutakuwa na kiingilio cha Tshs 500 ambapo kosovo fc ya mwagala watashuka dimbani ili kutifuana na bafana bafana fc ya buganika ili kupenya katika hatua ya nusu fainali
No comments:
Post a Comment