Jumamosi, 08 Septemba 2012 07:14

>>RVP apiga Bao kwa Netherlands!!
Katika Mechi za kuwania kwenda Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 huko Brazil Vigogo wa Ulaya, England, Germany, France, jana walishinda Mechi zao za kwanza za Makundi yao lakini Italy walitoka sare na huko Marekani ya Kuisini, Argentina waliichapa Paraguay Bao 3-1 na kuongoza Kundi la Nchi za Marekani ya Kusini.
Moldova 0 England 5
MABAO:
-Frank Lampard=Penati Dakika ya 3, 29
-Jermaine Defoe=32
-James Milner=74
-Leighton Baines=84
Netherlands 2 Turkey 0
MABAO:
-Robin van Persie=Dakika ya 17
-Luciano Narsingh=90
Finland 0 France 1
MABAO:
-Abou Diaby=Dakika ya 20
Argentina 3 Paraguay 1
MABAO:
Argentina
-Angelo Di Maria=Dakikaya 3
-Gonzalo Higuain=31
-Lionel Messi=64
Paraguay
-Jonathan Fabrro=18
Yafuatayo ni Matokeo/Ratiba ya Mechi za huko Marekani ya Kusini na Ulaya:
KANDA ya MAREKANI ya KUSINI
RATIBA
[Saa ni za Bongo]
Ijumaa Septemba 7
Colombia 4 Uruguay 0
Jumamosi September 8
Ecuador 1 Bolivia 0
Argentina 3 Paraguay 1
Peru 2 Venezuela 1
Jumanne Septemba 11
22:30 Chile v Colombia
Jumatano Septemba 12
0:30 Uruguay v Ecuador
2:25 Paraguay v Venezuela
4:25 Peru v Argentina
MSIMAMO:
1 Argentina Mechi 6 Pointi 13
2 Chile Mechi 6 Pointi 12
3 Ecuador Mechi 1 Pointi 12
4 Uruguay Mechi 6 Pointi 11
5 Colombia Mechi 6 Pointi 10
6 Venezuela Mechi 7 Pointi 8
7 Peru Mechi 6 Pointi 6
8 Bolivia Mechi 7 Pointi 4
9 Paraguay Mechi 6 Pointi 4
FAHAMU: Timu 4 za juu zinatinga Fainali Brazil moja kwa moja na ile ya 5 itaenda Mechi ya Mchujo.
KANDA ya ULAYA
RATIBA
[Saa ni za Bongo]
Ijumaa Septemba 7
Azerbaijan 1 Israel 1 [Kundi F]
Russia 2 Northern Ireland 0 [Kundi F]
Kazakstan 1 Ireland 2 [Kundi C]
Liechtenstein 1 Bosnia And Herzegovina 8 [Kundi G]
Georgia 1 Belarus 0 [Kundi I]
Malta 0 Armenia 1 [Kundi B]
Estonia 0 Romania 2 [Kundi D]
Croatia 1 Macedonia 0 [Kundi A]
Slovenia 0 Switzerland 2 [Kundi E]
Netherlands 2Turkey 0 [Kundi D]
Latvia 1 Greece 2 [Kundi G]
Andorra 0 Hungary 5 [Kundi D]
Finland 0 France 1 [Kundi I]
Montenegro 2 Poland 2 [Kundi H]
Luxembourg 1 Portugal 2 [Kundi F]
Moldova 0 England 5 [Kundi H]
Germany 3 Faroe Islands 0 [Kundi C]
Iceland 2 Norway 0 [Kundi E]
Bulgaria 2 Italy 2 [Kundi B]
Wales 0 Belgium 2 [Kundi A]
Lithuania 1 Slovakia 1 [Kundi G]
Albania 3 Cyprus 1 [Kundi E]
Jumamosi September 8
17:00 Scotland v Serbia [Kundi A]
21:15 Denmark v Czech Republic [Kundi B]
Jumanne Septemba 11
20:00 Israel v Russia [Kundi F]
20:00 Cyprus v Iceland [Kundi E]
20:30 Romania v Andorra [Kundi D]
20:30 Georgia v Spain [Kundi I]
21:00 Norway v Slovenia [Kundi E]
21:00 Turkey v Estonia [Kundi D]
21:00 Bulgaria v Armenia [Kundi B]
21:15 Bosnia And Herzegovina v Latvia [Kundi G]
21:15 Slovakia v Liechtenstein [Kundi G]
21:30 Austria v Germany [Kundi C]
21:30 Sweden v Kazakstan [Kundi C]
21:30 Hungary v Netherlands [Kundi D]
21:30 San Marino v Montenegro [Kundi H]
21:30 Switzerland v Albania [Kundi E]
21:30 Serbia v Wales [Kundi A]
21:45 Poland v Moldova [Kundi H]
21:45 Northern Ireland v Luxembourg [Kundi F]
21:45 Greece v Lithuania [Kundi G]
21:45 Belgium v Croatia [Kundi A]
21:45 Italy v Malta [Kundi B]
22:00 France v Belarus [Kundi I]
22:00 Scotland v Macedonia [Kundi A]
22:00 England v Ukraine [Kundi H]
23:00 Portugal v Azerbaijan [Kundi F]
MAKUNDI:
Kundi A
Belgium
Croatia
Macedonia
Scotland
Serbia
Wales
Kundi B
Armenia
Bulgaria
Czech Republic
Denmark
Italy
Malta
Kundi C
Austria
Faroe Islands
Germany
Kazakhstan
Republic of Ireland
Sweden
Kundi D
Andorra
Estonia
Hungary
Netherlands
Romania
Turkey
Kundi E
Albania
Cyprus
Iceland
Norway
Slovenia
Switzerland
Kundi F
Azerbaijan
Israel
Luxembourg
Northern Ireland
Portugal
Russia
Kundi G
Bosnia and Herzegovina
Greece
Latvia
Liechtenstein
Lithuania
Slovakia
Kundi H
England
Moldova
Montenegro
Poland
San Marino
Ukraine
Kundi I
Belarus
Finland
France
Georgia
Spain
FAHAMU: Washindi 9 wa kila Kundi wataingia Fainali moja kwa moja na Washindi wa Pili 8 bora wenye rekodi nzuri dhidi ya Timu zilizomaliza nafasi za Kwanza, Tatu, Nne na Tano kwenye Kundi lao watapelekwa kwenye Droo kupanga Mechi 4 za Mchujo, zitakazochezwa nyumbani na ugenini, ili kupata Timu nne zitakazoingia Fainali.
No comments:
Post a Comment