Friday, November 2, 2012

PAMBANO LA CHEKA LAOTA MBAWA



Mpinzanai wa bondia Francis Cheka toka Ujerumani, Benjamin Simon ambaye walikuwa wapambane tarehe 18 Decemba kugombea mkanda wa IBF wa mabara ameumia na mpambano wao umefutwa.

Meneja wa Simon, bwana Robert Dolle ambaye naye ni bondia pia ameiarifu IBF kuwa walikuwa wanangoea kujua kama kweli hataweza kucheza ndio watoe taarifa hiyo. Ifuatayo ni nakala ya meseji ya email toka kwa Robert Dolle:

No comments:

Post a Comment